AfyaPlan Application

AfyaPlan ni programu ya kisasa inayokusaidia kufuatilia, kutathmini, na kudhibiti hali zako za kiafya, hususan shinikizo la damu (hypertension) na kisukari.

Programu hii imeundwa ili kukupa majibu ya maswali yako, ushauri wa kitaalam kutoka kwa daktari, na zana bora za kukusaidia kuboresha afya yako na kuepuka matatizo makubwa.

Utalipia TSh. 4,900/= kisha baada ya miezi miwili utakuwa unalipia TSh. 3000/= Kila Mwezi

Sh 4,900

Scroll to Top