About The Author
Dr. Adinan, MD. MSc. FDHS. FFogarty
Wengi hupata madhara ya magonjwa kwa kukosa elimu sahihi na nyenzo muhimu kutathmini afya zao. Mimi, Dr. Adinan ni daktari wa binaadamu na mtafiti wa afya. Tafiti zangu zinalenga kusaidia wagonjwa kuwa mstari wa mbele kufahamu, kudhibiti na kuepuka madhara ya magonjwa, haswa sugu. Pia ni mkufunzi wa vyuo vya afya nchini na nje ya nchi.