Ilianza kama kichwa kuuma, ikaisha kwa ushindi wa maisha.
“Mzee Juma alidhani ni uchovu wa kawaida wa jiji la Dar. Dakika 60 baadaye, alikuwa wodini, presha ikisoma 180/110. Dunia ilisimama.”
Msaada Wetu Kwa Mzee Juma (Na Kwako Pia)
Hatukumpa vidonge zaidi; tulimpa mfumo wa kurudi kwenye uzima.
1. Elimu: Ramani ya Mlo
Mzee Juma alijifunza siri ya vyakula vya asili kupitia kitabu chetu. Alijua kwanini “Dona” ni rafiki na “Chumvi mbichi” ni adui.
Pata Kitabu Chetu2. Ufuatiliaji: Namba Hazidanganyi
Kupitia App yetu, Mzee Juma alirekodi kila kipimo. Grafu zake zilimuonyesha wazi akicheza na wajukuu bila hofu.
Unganisha App & Mashine3. Udhibiti: Ratiba ya Mazoezi
Hatukumwambia akimbie marathoni. Tulimpa ‘Breathing Exercises’ na ratiba ya kutembea inayoshusha presha haraka.
Pata Ratiba ya Mazoezi4. Ushauri: Rafiki wa Muda Wote
Baada ya hospitali, tulibaki naye. Ushauri wa daktari ndani ya sekunde chache kupitia simu yake ulimaliza hofu yote.
Ongea na Daktari SasaJe, ungependa hadithi yako iwe na ushindi kama wa Mzee Juma?
Afya yako haina spea. Jiunge na AfyaPlan leo uanze kuishi maisha bila hofu ya kiharusi.
*Punguzo la 20% kwa ajili ya wazee linamalizika leo.*